top of page
Alhidaaya Da'wah
Elimu Ni Nuru Ya Maisha
Misingi Yetu
Qur'ani na Sunna kwa Ufahamu wa Wema Waliotangulia
Anasema Imam Muhammad bin Siiriin Allah Amrehemu: "Hakika Elimu hii ni Dini, basi tazameni ni kwa nani mnachukua Dini Yenu"
Mada za Kielimu

Vijana
Jifunze miongozo ya malezi na maadili mema kwa vijana wa Kiislamu katika jamii ya sasa.

Aqidah
Jifunze misingi sahihi ya itikadi kwa kufuata Qur'ani na Sunnah, mbali na bid’ah na siasa.

Ndoa
Mada muhimu na nasaha kwa wanaotarajia kuoa au kuolewa na walio ndani ya ndoa.

Fatwa
Pata majibu ya kitaalamu kutoka kwa wanachuoni kuhusu masuala mbalimbali ya kisheria.

Kijana Wa Kiislamu katika Jamii
Shikamaneni na Qur'ani na Sunnah mkijipamba na maadili mema wakati wote. Kuweni mstari wa mbele kuhudumia familia, misikiti na jamii yenu kwa moyo mweupe.
bottom of page

